Hotline: (+255) 24-2230271
Email: This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dk. Ali Mohamed Shein, amesema kuwa lengo la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar la kuliimarisha zao la karafuu ni kuwaneemesha wakulima wa zao hilo na kuwafanya wawe na maisha bora zaidi kuliko ilivyo sasa.
Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Dr. Idrisa Muslim Hija amelishauri Shirika la Taifa la Biashara Zanzibar (ZSTC) na Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kuangalia uwezekano wa kuanzisha taasisi maalum itakayoshughulikia tafiti za kitaalamu juu ya zao la karafuu.
Maafisa kutoka Shirika la Biashara la Taifa Zanzibar ( ZSTC) na Wizara ya Biashara na Viwanda wakikabidhi zawadi mbalimbali kwa washiriki walioshiriki katika mashindano ya ZSTC Day.
Zanzibar President and Chairman of the Revolutionary Council Dr. Ali Mohamed Shein said that the good start of Branding of Zanzibar Cloves and other spices must be developed for the benefit of Farmers and the Nation.
We offer the best quality of Cloves in the market that has a strong taste and aroma. We offer the best price and it is negotiable. Considering our terms of sales we do on-time shipment of your purchases. We provide free samples while attempting to try and purchase.
We're Open :0730 -1630Hrs EAT Mon-Friday
Sunday and Public Holidays: Closed